Picha ya kwanza nai mkuu wa Wilaya ya Bukoba Jackson Msome aliyevaa suti akitoa pesa kwa Mariam Mussa mmoja wa wananchi waishio katika mazingira magumu kutoka Bukoba vijijini kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Kagera John Mongella
Picha ya Pili ni baadhi ya wananchi waishio katika kaya maskini walioudhulia uzinduzi wa mpango huo.
Mkoa wa Kagera wazindua TASAF awamu ya tatu kwa lengo likiwa ni kunusuru kaya maskini ambapo kaya 59667 zategemewa kunufaika na mpango huo.
No comments:
Post a Comment