Thursday, August 20, 2015

KAYA 59667 KUNUFAIKA NA MPANGO WA TASAF AWAMU YA TATU KAGERA









Picha ya kwanza nai mkuu wa Wilaya ya Bukoba Jackson Msome aliyevaa suti akitoa pesa kwa Mariam Mussa mmoja wa wananchi waishio katika mazingira magumu kutoka Bukoba vijijini kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Kagera John Mongella


Picha ya Pili ni  baadhi ya wananchi waishio katika kaya maskini walioudhulia uzinduzi wa mpango huo.


Mkoa wa Kagera wazindua TASAF awamu ya tatu kwa lengo likiwa ni  kunusuru kaya maskini  ambapo kaya 59667 zategemewa kunufaika na mpango huo.

No comments:

Post a Comment