Wednesday, August 19, 2015

watoto 300,000 huzaliwa na ugonjwa wa Selimundu





WATOTO laki 3 wa Afrika  huzaliwa wakiwa na ugonjwa wa seli mundu kwa mwaka .

Takwimu hizo zilitolewa na Dk. Digna Riwa  bingwa  wa magonjwa  ya  ndani kutoka hospitali ya Amana Jijini Dar-es-Salaam wakati wa kampeni ya magonjwa yasiyoambukiza iliyofanyika mkoani Kagera  hivi majuzi.

Riwa alisema  kutokana na utafiti wa wataalam  kutoka  katika hospitali ya Rufaa ya Muhimbili  umebainisha hari hiyo.

No comments:

Post a Comment