Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Graides Dyamvunye alisema kuwa mpaka sasa ni walimu 86, ambao tayari wameripoti kwenye Vituo vyao vya kazi wakiendelea na shughuli zao za ufundishaji.
Alisema tarehe ya mwisho ya kuripoti kwa walimu hao, katika vituo vyao vya kazi ilikuwa Juni 9 mwaka huu na kusisitiza kuwa matumaini ya walimu hao kuripoti ni mdogo kutokana na muda wa kuripoti kuisha bila kuwepo kwa taarifa zao.
No comments:
Post a Comment